
Lichungeni Kundi la Mungu. Kila mzee aliyewekwa rasmi anapewa kitabu hiki. Mzee akiondolewa isipokuwa kwa sababu ya kuhamia kutaniko lingine akiwa amependekezwa, anapaswa kukabidhi Halmashauri ya Utumishi ya Kutaniko kitabu hiki ili kiharibiwe, na nakala zozote za kielektroniki alizo nazo zinapaswa kufutwa.